DC MWEMA AONGOZA KONGAMANO NA KIKAO CHA KWANZA CHA WADAU WA ELIMU HALMASHAURI YA WILAYA YA CHAMWINO

Na Mwandishi Wetu Chamwino Mkuu wa wilaya ya Kongwa Remedius Mwema  ambaye pia Kwa sasa anakaimu wilaya ya Chamwino kufuatia mkuu wa wilaya hiyo kuwa likizo  februari 16.2023 ameongoza kikao Cha kwanza kati ya vikao viwili kwa mwaka cha wadau wa maendeleo ya  elimu katika halmashauri hiyo. Kikao hicho chenye lengo la kujadili maendeleo na